Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA wameibuka kidedea katika uchaguzi wa Mea wa jiji la Dar es salaam baada ya mgombea wake Isaya Mwita wa CHADEMA kuibuka mshindi kwa kupata kura 84 dhidi ya mgombea wa CCM Yenga Omary aliyepata kura 67. Kwa matokeo hayo, Ndugu Mwita anakuwa mea mteule wa Jiji na kuiandika Historia ya jiji hilo kuwa Meya wa kwanza toka upinzani
WAKILI KISABO AWASILISHA MADA KUHUSU MCHANGO WA THRDC KWA WAANDISHI WA
HABARI NCHINI
-
Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umeshiriki katika
kongamano la wadau wa habari nchini Tanzania lililoendeshwa na
MISA-Tanzania kat...
9 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment