Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA wameibuka kidedea katika uchaguzi wa Mea wa jiji la Dar es salaam baada ya mgombea wake Isaya Mwita wa CHADEMA kuibuka mshindi kwa kupata kura 84 dhidi ya mgombea wa CCM Yenga Omary aliyepata kura 67. Kwa matokeo hayo, Ndugu Mwita anakuwa mea mteule wa Jiji na kuiandika Historia ya jiji hilo kuwa Meya wa kwanza toka upinzani
CANADA YAIPA TANZANIA DOZI MIL 23 ZA VITAMINI A.
-
Na John Mapepele
Serikali ya Canada kupitia Shirika lake linaloshughulika na masuala ya
lishe duniani la Nutrition International imetoa dozi milioni 23 z...
59 minutes ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment