Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA wameibuka kidedea katika uchaguzi wa Mea wa jiji la Dar es salaam baada ya mgombea wake Isaya Mwita wa CHADEMA kuibuka mshindi kwa kupata kura 84 dhidi ya mgombea wa CCM Yenga Omary aliyepata kura 67. Kwa matokeo hayo, Ndugu Mwita anakuwa mea mteule wa Jiji na kuiandika Historia ya jiji hilo kuwa Meya wa kwanza toka upinzani
TASAF KUBORESHA ZAIDI AJIRA ZA MUDA MFUPI
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), Shadrack Mziray
amesema ziara ya mafunzo nchini, Afrika Kusini kuhusu utekelezaji wa ajira
za ...
55 minutes ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment