Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA wameibuka kidedea katika uchaguzi wa Mea wa jiji la Dar es salaam baada ya mgombea wake Isaya Mwita wa CHADEMA kuibuka mshindi kwa kupata kura 84 dhidi ya mgombea wa CCM Yenga Omary aliyepata kura 67. Kwa matokeo hayo, Ndugu Mwita anakuwa mea mteule wa Jiji na kuiandika Historia ya jiji hilo kuwa Meya wa kwanza toka upinzani
March 22, 2016
3:28 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
OMMY DIMPOZ AMPIGA KIJEMBE KIKALI DIAMOND Diamond Platnumz ali-tweet kupitia ukurasa wake wa Twitter kuhusu mambo ya mapenzi na mahusiano … In between, Ommy Dimpoz jumped in… This is too far hilarious … Ha ha ha … Ni kweli haya yanatokea??!! Check them tweets hapa… Read More
SAKATA LA MCHEZAJI EMMANUEL OKWI, WATANO WAINGI MATATANI TFF Okwi ni Miongoni mwa wachezaji walionekana kuzongwa na maelezo mengi ikiwa ni pamoja na kusimamishiwa uhamisho wake mara baada ya kujiunga na club ya Yanga sasa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetoa … Read More
PICHA ZA SHOW YA ALLY KIBA ALIYOFANYA JIJINI MUSCAT SIKU YA WAPENDANAO Mwanamuziki anayeongoza kwa kupiga show nyingine za nje, Ally Kiba alipata kuwa gumzo tena katika jiji la Muscat baada ya kukonga nyoyo za wapendanao siku ya Valentines kwa kupiga show kaba… Read More
ZITTO KABWE AIDUNGUA CCM MCHAKATO WA KATIBA Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe, amewaonya wanaotaka kukwamisha mchakato wa kupata katiba mpya., kupitia ukurasa wake wa facebook Zitto ameandika Katiba ni mwafaka wa kitaifa. Kitendo cha C… Read More
KIFO CHA KANUMBA, LULU AANIKA UKWELI MWANGA umeanza kuonekana juu ya kesi inayomkabili staa wa filamu za Bongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ ya kumuua bila kukusudia staa mwenzake wa muvi, Steven Charles Meshack Kusekwa Kanumba ambapo safari h… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment