Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA wameibuka kidedea katika uchaguzi wa Mea wa jiji la Dar es salaam baada ya mgombea wake Isaya Mwita wa CHADEMA kuibuka mshindi kwa kupata kura 84 dhidi ya mgombea wa CCM Yenga Omary aliyepata kura 67. Kwa matokeo hayo, Ndugu Mwita anakuwa mea mteule wa Jiji na kuiandika Historia ya jiji hilo kuwa Meya wa kwanza toka upinzani
KITUMBO AIBUKA MEYA MPYA MANISPAA YA SHINYANGA, TAZAMA AKIONGOZA KIKAO CHA
KWANZA BARAZA LA WADIWANI
-
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga ,Salum Kitumbo
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mazingira ya kisiasa ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Shinyang...
2 hours ago








0 MAONI YAKO:
Post a Comment