
Usiku wa jana kuamkia leo hii, wakazi wa Mtwara wameingia kwenye Historia ya mwaka 2016 kufuatia tamasha kubwa la Fiesta 2016 kutia nanga katika viwanja vya Nangwanda Sijaona.Wasanii kibao kama Darassa, Jay Moe, Snura, Dayna Nyange, Hamadai, MR.Blue walifanya bonge la show na kuwaacha wakazi wa Mtwara katika bonge la shangwe.

Snura mama akikamuka vilivyo katika jukwaa la Fiesta 2016 mkoani Mtwara

msamibaby na 'dancers' wake ni level za mbali saaana

Young Dee kwenye stage

Wengine wanamwita Rihanna wa TZ, anaitwa Dayna Nynage akikomelea jukwaani

Wengine wanamwita Beyonce wa Bongo, sasa tushike lipi?? Dayna Nynage ahsante kwa show yako

Kutoka THT anaitwa Hamadai

Kutoka A. Town City anaitwa lordeyes naye alifanya yake umakondeni usiku wa jana

Wakazi wa Mtwara wakishangweka vilivyo katika show ya Fiesta usiku wa jana kuamkia leo katika viwanjwa vya Nangwanda Sijaona

Mkali kitambo mpaka leo hii , huwa hajawahi kuharibu. Anaitwa Jay Moe akifanya poa nyumbani kwao

Wakazi wa Mtwara wakishangweka vilivyo katika show ya Fiesta usiku wa jana kuamkia leo katika viwanjwa vya Nangwanda Sijaona

Mkali kitambo mpaka leo hii , huwa hajawahi kuharibu. Anaitwa Jay Moe akifanya poa nyumbani kwao
0 MAONI YAKO:
Post a Comment