November 30, 2016

Kipa wa Medeama, Daniel Agyei ametua nchini tayari kumalizana na Simba.

Kipa wa Medeama, Daniel Agyei ametua nchini tayari kumalizana na Simba.
Lakini kwa hali inavyoonekana, huenda Simba imeishamaliza kila kitu kwa kuwa Agyei amekuja nchini na rundo la mabegi.

Mabegi ya Agyei, inaonyesha ni mtu aliyekuja kazini na hana mpango wa kurudi kwao keshi, labda baada ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara kwisha.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE