July 18, 2016

 

 Kaa tayari kwa zigo jipyaaa  👉‪#‎KOMELA‬"🔥 @daynanyange ft@billnass#‎July20‬#‎JumatanoHii‬#‎SaveTheDate‬  #‎PleaseShareThisPost‬

Mwanamuziki toka mkoani Morogoro Dayna nyange Jumatano hii, anataraji kuachia wimbo wake mpya unaoitwa Komela. katika wimbo huo safari hii Dayna Nyange amekuja na mkali wa chaf poz Bill Nass na kuukamilisha wimbo huo uliofanyika katika studio za Free Nation chini ya Producer T. Touch

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE