June 06, 2013


    Baada    ya   kukaa kwa zaidi ya wiki moja tangu amefariki, Ndugu yetu msanii wa  Hip Hop toka Morogoro  Albert Mangwea jioni hii tumempumzisha katika nyumba yake ya milele katika makabuli ya Kihonda Kanisani mjini Morogoro huku mazishi hayo yakihudhuliwa na maelfu ya watu.
 
Sanduku la mwili wa Marehemu  Mangwea

 
Hili ndilo kabuli la Mangwe

 


16f11344cea711e2813a22000a1f8f34_7 
Ummati wa watu ukishiriki mazishi

 4406673ccea511e2850422000a1f9a85_7 

Photo: Nyumba ya milele ya cowobama.. Utakumbukwa daima

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE