Vyombo vya habari vimekumbushwa kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa kwa
kufuata misingi ya maadili ya sekta hiyo ili kupata viongozi bora katika
uchaguzi wa mwaka huu.
Kauli hiyo imetolewa na Mgombea
wa ubunge jimbo la Iringa mjini kupitia chama cha ACT-Wazalendo
Ndugu.Chiku Abwao na kuwaomba kujiepusha na rushwa ili
kutekeleza majukumu yao kwa haki.
Aidha, amesema ameamua kujiunga na chama cha ACT-Wazalendo ili kuleta mageuzi thabiti ya kujenga nchi.
Hata hivyo, Mhe. Chiku Abwao amewakumbusha wananchi kutambua viongozi wanaoweza kuwaletea maendeleo katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu badala ya kutanguliza ushabiki wa vyama vya siasa.
Aidha, amesema ameamua kujiunga na chama cha ACT-Wazalendo ili kuleta mageuzi thabiti ya kujenga nchi.
Hata hivyo, Mhe. Chiku Abwao amewakumbusha wananchi kutambua viongozi wanaoweza kuwaletea maendeleo katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu badala ya kutanguliza ushabiki wa vyama vya siasa.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment