August 19, 2015

 
Vyombo vya habari vimekumbushwa kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa kwa kufuata misingi ya maadili ya sekta hiyo ili kupata viongozi bora katika uchaguzi wa mwaka huu.
 
Kauli hiyo imetolewa na Mgombea wa ubunge jimbo la Iringa mjini kupitia‭ ‬chama cha ACT-Wazalendo‭ ‬Ndugu.‭Chiku Abwao na kuwaomba kujiepusha na rushwa ili kutekeleza majukumu yao kwa haki.
Aidha,‭ ‬amesema ameamua kujiunga na chama cha ACT-Wazalendo ili kuleta mageuzi thabiti ya kujenga nchi.
Hata hivyo,‭ ‬Mhe.‭ ‬Chiku Abwao amewakumbusha wananchi kutambua viongozi wanaoweza kuwaletea maendeleo katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu badala ya kutanguliza ushabiki wa vyama vya siasa.


Related Posts:

  • TWAHA KIDUKU Apokewa kishujaa Morogoro .   Bondia Twaha Kiduku alipokewa kishujaa Mkoani Morogor, kufuatia mapokezi aliyoandaliwa wakati akireje mkaoni hapa baada ya kumtwangwa vilivyo bondia kutoka Afrika Kusini France Thabang Ramabolu katika pambano … Read More
  • Video: Rajram - Pop Corn Official Video ya mwanamuziki mkali wa Free Style kutokea mkoani Morogoro Rajram    (RAJRHYMES )  imekamilika na nipo hewani nkwa ajili yako shabiki na mdau wake .        DOW… Read More
  • AUDIO: Dj Seve ft Mzee wa Bwax - Biriani DOWLOAD HAPA Listen to Dj Seven Feat Mzee Wa Bwax - Biriani I Machaku Media byAhmadi Machaku on hearthis.at … Read More
  • AUDIO: MC Hamza Konki - Happy Birthday Ni wimbo wa kwanza wa Birthday kwa upande wa muziki wa Singeli. Wimbo huu umetolewa maalum kabisa kwa mtangazaji mahili mkoani Morogoro toka Planet Fm Bibie Warda Makongwa, aliyeadhimisha kumbukumbu yake ya kuzaliwa Si… Read More
  • New Audio: Roma ft One Six - Anaitwa ROMA Mlisema maeacha, sasa ameanza upyaaaaaaaaa. Ni wimbo mpya kabisa wa ROMA unaitwa Anaitwa Roma akimshirikisha mwanamuaziki ONE 6. Listen to Roma_ft_one_six_anaitwa_roma- Machaku Media byAhmadi Machaku on hearthis.at … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE