February 01, 2018

 

 Mwanamuziki Nikki wapili amejisufu kumbadilishwa mwanamuziki Dayna Nyange kutoka kwenye ku Rap mpaka kufanya mziki wa Kuimba. Nikki ameiambia Bongo 5 kwamba alikutana na Dayna studio na kumsikiliza jinsi anavyo Rap na kisha kumshauri kubadilika na mpaka sasa kufikia Mafanikio ya tuzo za kimataifa za AFRIMMA

                       

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE