Mwanamuziki Nikki wapili amejisufu kumbadilishwa mwanamuziki Dayna Nyange kutoka kwenye ku Rap mpaka kufanya mziki wa Kuimba. Nikki ameiambia Bongo 5 kwamba alikutana na Dayna studio na kumsikiliza jinsi anavyo Rap na kisha kumshauri kubadilika na mpaka sasa kufikia Mafanikio ya tuzo za kimataifa za AFRIMMA
KAMATI YA BUNGE YA AFYA, UKIMWI YAIPONGEZA BARRICK BULYANHULU KUZINGATIA
KANUNI ZA AFYA
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imefanya ziara ya
kikazi katika mgodi wa Dhahabu wa Barrick Bulyanhulu na kupongeza jitihada
zinazo...
4 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment