July 31, 2016

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia  na Maendelea (Chadema), Freeman Mbowe  leo july 31 amewasili makao makuu ya jeshi la polisi kuitikia wito wa kuhojiwa na jeshi hilo huku hali ya  usalama ukiwa imeimarishwa   kabla na baada ya Mbowe kuwasili .

 
Mbowe akiwa na msafara wa magari nane walikutana na ulinzi huo makali ambapo  magari ya Mbowe na Wakili Peter Kibatala ambaye alikuwa na Tundu Lissu ndio yaliruhusiwa kuingia. 

Gari la Edward Lowassa na viongozi wengine wamezuiwa kwenye geti la kuingia kituoni hapo ambapo geti hilo limezibwa na gari la maji ya kuwasha ili kutoruhusu gari yoyote kutoka au kuingia

Related Posts:

  • Mwana dada anyongwa gest Morogoro    Kamanda wa polisi mkoa Morogoro Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia Erick Bruno mkazi wa Manzese Tip Top Dar es salaam kwa kosa la mauaji. Akitoa taarifa hiyo kwa mtandao huu ofisini kwake mape… Read More
  • Msiba: Christopher Alex afariki dunia   Aliyekuwa kiungo nyota wa Simba, Christopher Alex Massawe, amefariki dunia.  waliosimama wa nne toka kushoto mwenye rasta ni Christopher Alex akiwa na kikosi cha simba Alex amefariki dunia kwa mjini Dodoma… Read More
  • Serikali ya Tanzania inapaswa kuchukua hatua ili kutokomeza mauaji dhidi ya albino    Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora Tanzania, Tom Bahame Nyanduga, amesema ni jukumu la serikali kuhakikisha kwamba watekelezaji wa mauaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi wanapewa adh… Read More
  • UNICEF: Watoto wengi wametekwa nyara S/Kusini    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNICEF limetangaza kuwa, vijana wengi wadogo wenye umri wa miaka 13 wametekwa nyara huko Sudan Kusini.UNICEF imeeleza katika ripoti yake kwamba, vijana wad… Read More
  • Jack: Sitaki Tena Ndoa! Mrembo na mwigizaji wa filamu, Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’ ameamua kufunguka na kuweka wazi kuwa hayuko tayari kuolewa tena hii ni baada ya kupewa talaka na aliyekuwa mumewe, Gadna Dibibi. Jack alisema, kwa muda… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE